24 Oktoba 2025 - 19:05
Ayatollah Khamenei: Makubaliano ya Mabavu si Makubaliano, Bali ni Kulazimishwa — Iran Haitakubali Kulazimishwa

"Rais wa Marekani anasema anataka kufanya makubaliano na Iran; makubaliano ambayo matokeo yake yamepangwa tayari kwa njia ya vitisho na mabavu siyo makubaliano-bali ni kulazimishwa, na taifa la Iran halitakubali kulazimishwa.”

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Ayatollah Khamenei alijibu madai ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu utayari wake wa kufanya makubaliano na Iran, akisema:

“Rais wa Marekani anasema anataka kufanya Makubaliano na Iran; makubaliano ambayo matokeo yake yamepangwa tayari kwa njia ya vitisho na mabavu siyo makubaliano-bali ni kulazimishwa, na taifa la Iran halitakubali kulazimishwa.”

Ameongeza kuwa Iran haiwezi kushawishiwa wala kutishwa na mbinu za kibabe kama ambavyo mataifa mengine yanaweza kushawishiwa.

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha