Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyyed Abbas Araghchi, ameeleza masikitiko na rambirambi za Serikali na wananchi wa Iran kwa Venezuela kufuatia matetemeko mawili makubwa ya ardhi, huku Tehran ikitangaza utayari wake wa kushiriki katika shughuli za uokoaji na misaada.
"Rais wa Marekani anasema anataka kufanya makubaliano na Iran; makubaliano ambayo matokeo yake yamepangwa tayari kwa njia ya vitisho na mabavu siyo makubaliano-bali ni kulazimishwa, na taifa la Iran halitakubali kulazimishwa.”