rais
-
Mfumo wa Mahakama wa Serikali ya Joulani umetoa amri ya kukamatwa pasina kuwepo (arrest in absentia) dhidi ya Rais wa zamani wa Syria, Bashar al-Assad
Hapo awali, mfumo wa mahakama wa Ufaransa katika Mwezi wa Novemba 2023, uliitoa hukumu ya kukamatwa dhidi ya Bashar Assad kwa ushiriki katika mashambulizi ya kemikali yaliyotolewa na majeshi yake mwaka 2013 katika Ghouta na maeneo mengine karibu na Damascus, yaliyopelekea vifo vya watu wengi.
-
Pezeshkian: Iran daima imesimama imara mbele ya Dhoruba za Historia / Watenda jinai ambao mwenendo wao ni kuua watoto, hawastahili kuitwa Binadamu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa Iran, hii ndiyo ustaarabu wa kale zaidi unaoendelea duniani, na daima imesimama imara mbele ya dhoruba za historia. Taifa hili, kwa roho kuu na azma isiyokoma, mara nyingi limethibitisha kwamba haliinamii mbele ya wavamizi; na leo pia limesimama kwa heshima mbele ya wanyakuzi, likitegemea nguvu ya imani na mshikamano wa kitaifa
-
Maduro: "Trump ameongeza umoja wa kitaifa nchini Venezuela"
Rais wa Venezuela amesema: Tuhuma zisizo na msingi za Trump dhidi ya Venezuela zimeongeza umoja na mshikamano wa watu na serikali ya Venezuela.
-
"Abdulaziz bin Abdillah Al-Sheikh", Mufti Mkuu wa Saudi Arabia, Amefariki Dunia
Abdulaziz bin Abdullah Al-Sheikh, Mufti Mkuu wa Saudi Arabia, Amefariki Dunia leo Jumanne.
-
Meja Jenerali Musawi: Jeshi la Ukombozi litatoa jibu lililo juu ya fikra za waonevu (waovu)
Rais wa Makao Makuu ya Majeshi ya Ulinzi wa Iran amesema: Tunawapa uhakika wananchi wa Iran wenye heshima na ushujaa kuwa, vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu kwa kutegemea uwezo wao, ubunifu na mshangao wa kimkakati, viko tayari kukabiliana na vitisho vyovyote vya madhalimu na waonevu wa dunia kwa majibu ya wakati muafaka, makali, ya kujutia na yaliyo zaidi ya fikra zao.
-
Maduro: Mamilioni ya Wavenezuela wako tayari kwa vita na kukabiliana na wavamizi wa Kimarekani
Rais wa Venezuela, huku akilaani shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Qatar, ametangaza kuwa wananchi wa nchi hiyo wako tayari kwa vita dhidi ya wavamizi wa Marekani.
-
Kiongozi wa Mapinduzi Katika Mkutano na wanachama wa Serikali:
"Tuweke roho ya Kazi na Juhudi juu ya hali ya Kutokuwa Vitani wala kuwa na Amani (Hali ya 'si vita, si amani')
Ayatollah Khamenei katika kikao na Rais pamoja na Baraza la Mawaziri alisisitiza juu ya umuhimu wa 'kutawala kwa hali ya kazi, juhudi na matumaini' dhidi ya 'hali ya si vita wala amani'
-
Macron: Kuzuia Palestina Kushiriki Mkutano wa Umoja wa Mataifa ni Kitendo Kisichokubalika
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amelaani uamuzi wa Marekani wa kutowapa viza maafisa wa Palestina kwa ajili ya kushiriki katika mikutano ijayo ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, akisema kuwa kitendo hicho hakikubaliki kabisa.
-
Ali Larijani Ateuliwa Kuwa Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran
Uteuzi wake katika nafasi hii nyeti unaashiria uwezekano wa mwelekeo mpya katika sera za usalama na uhusiano wa kimataifa wa Iran.
-
Rais wa Iran: Mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran Yameleta Umoja wa Kitaifa Usio na Mfano
"Leo tunashuhudia kwa macho yetu kuwa kila Muirani - awe ni mfuasi wa Serikali au mpinzani wake - amekuwa sauti moja katika kutetea hadhi, uhuru, na mamlaka ya nchi yetu".
-
Pezeshkian: Madai ya Trump kuhusu kukomesha mpango wa Nyuklia wa Iran ni Udanganyifu
Katika mahojiano na gazeti la Al-Jazeera, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza utayarifu wake wa kukabiliana na utawala wa Kizayuni, aliyataja mazungumzo ya kuhitimisha mpango wa nyuklia wa Iran kuwa ni ndoto na njozi. Aidha, alisema: Hatutaki Vita, lakini Tuko Tayari Kujilinda kwa Nguvu Zetu Zote.
-
Zanzibar | Rais Mwinyi Atoa Wito wa Kuendelea Kuliombea Taifa Amani
Alisema: “Kila ninapopata nafasi ya kuzungumza na Wananchi, nitaendelea kusisitiza juu ya umuhimu wa amani na utulivu kwa sababu ndiyo njia pekee ya kuhakikisha tunapata maendeleo.”
-
Maduro: Ninalaani vikali shambulio la kuchukiza na la aibu la Marekani dhidi ya Iran
Ninatangaza wazi na bayana mshikamano wangu kamili kwa watu imara na mashuhuri wa Iran, serikali yake, na watu wote ulimwenguni wanaopigania uhuru na amani.
-
Ziara ya Pezeshkian nchini Oman | Mizinga 21 yafyatuliwa kwa heshima ya Rais wa Iran mjini Muscat
Dkt. Massoud Pezeshkian, Rais wa Iran, amefanya ziara nchini Oman kwa madhumuni ya kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, kisiasa na kitamaduni. Alipowasili katika uwanja wa ndege wa Muscat, alipokelewa na maafisa wa ngazi za juu wa nchi hiyo. Sherehe rasmi ya mapokezi ilifanyika katika Kasri ya Al-Alam kwa uwepo wa Sultan wa Oman, ambapo mizinga 21 ilifyatuliwa kwa heshima ya Rais wa Iran.
-
Donald Trump awasili katika Mji Mkuu wa Saudi Arabia / Kuanza kwa ziara ya kikanda ya Rais wa Marekani
Rais wa Marekani, katika mwanzo wa ziara yake ya kwanza ya nje ya nchi, amewasili katika jiji la Riyadh.
-
Mufti wa Tanzania atangaza Dua ya Kuiombea Nchini na Wazee waliotangulia mbele ya Haki | Rais Samia Hassan na Rais Mwingi Kushiriki
Dua ya Kuiombea Taifa la Tanzania na kuwarehemu Wazee wetu waliotangulia mbele ya Haki itaongozwa na Mheshimiwa Mufti wa Tanzania.
-
Idadi ya waliokamatwa katika Maandamano dhidi ya Serikali ya Uturuki imeongezeka hadi kufikia watu 343
Kufuatia maandamano ya Uturuki yaliyotokana na kukamatwa kwa Meya wa Istanbul, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki ametangaza kukamatwa kwa watu 343 katika majimbo 9 ya nchi hiyo.
-
Tutajitahidi kufanya thamani yetu kuwa bora zaidi na ya juu zaidi kuliko ilivyo kwa sasa katika mzunguko mpya wa nyakati
Akisema kwamba Nowruz na na Nyusiku za Lailat al-Qadr ni miale miwili ya nuru moja na madhihirisho mawili ya ukweli uleule (ulio sawa), Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Tunakesha katika usiku huu ili kuwa Wanadamu wapya kwa kuzisafisha nafsi zetu na kufikia hatima (makadirio) yetu katika siku mpya, lakini hatima (makadirio) yetu na nchi yetu si mahali hapa tuliposimama; Uthamani wetu ni wa juu kuliko hali yetu ya sasa.