Wapambanaji wa madhehebu ya Shia wanaomshikilia nyumbani kwake Rais wa Yemen wamefikia makubaliano na kiongozi huyo anayeungwa mkono na Marekani kukomesha mzozo wa umwagaji damu katika mji mkuu.
Rais Salva Kiir na kiongozi wa waasi, Riek Machar, walisaini makubaliano hayo ambayo sasa yanazileta pamoja kambi mbili zinazopingana ndani ya chama tawala cha Vuguvugu la Ukombozi wa Sudan Kusini (SPLM).