makubaliano
-
Baada ya kusaini makubaliano makubwa zaidi ya nishati katika historia yake - Je, Afghanistan inakaribia kujitegemea?
Kabul imeanza safari ya kuzalisha megawati 10,000 za umeme baada ya kusaini makubaliano makubwa zaidi ya nishati katika historia yake, mpango unaoweza kuibadilisha kutoka nchi inayoagiza umeme hadi kuwa muuzaji wa nishati katika ukanda.
-
Marekani Yapongeza Uamuzi wa Baraza la Mawaziri wa Lebanon wa Kulazimisha Udhibiti wa Silaha Mikononi mwa Serikali
Mjumbe wa Marekani afurahishwa na hatua ya baraza la mawaziri la Lebanon dhidi ya silaha za Muqawama.
-
Makelele ya Maafisa wa Kijeshi wa Zamani wa Israel dhidi ya Vita ya Gaza: "Tuko Kwenye Ukingo wa Kushindwa kwa Kihistoria"
Amos Malka, aliyewahi kuwa mkuu wa idara ya ujasusi wa kijeshi, pia alitoa onyo kuwa:"Tuko karibu na ukingo wa kushindwa. Malengo ya awali ya kijeshi yalitimia muda mrefu uliopita, lakini kwa sababu za kisiasa – si za kijeshi – mapigano yanaendelea, na hali hii inaiathiri vibaya Israel kisiasa na kiusalama."
-
Khatibzadeh: Marekani lazima ilipe fidia kwa Iran
Hatukuwa na makubaliano yoyote ya maandishi na utawala wa Kizayuni yaliyokuwa na ibara yoyote, na kilichotokea ni kusitishwa kwa uchokozi wa Wazayuni.
-
India na Pakistan Wakubaliana Kuwarudisha Wanajeshi katika Mipaka ya Awali Kabla ya Mvutano wa Kijeshi
New Delhi na Islamabad Wakubaliana Kuwarejesha Wanajeshi wao katika Nafasi za Kabla ya Mapigano. India na Pakistan wamefikia makubaliano ya kijeshi ya kurejesha vikosi vyao katika mojawapo ya maeneo ya mpaka yaliyokuwa na mvutano, hali ambayo ilizidi kuwa mbaya baada ya shambulio la kigaidi la tarehe 22 Aprili huko Kashmir. Makubaliano haya yamefikiwa baada ya kuongezeka kwa mivutano na mashambulizi ya kuvukiana mipaka, na yanakusudia kupunguza hali ya hatari ya kijeshi kati ya nchi hizo mbili. Kwa mujibu wa taarifa rasmi, urejeshaji wa wanajeshi kwenye nafasi za awali unatarajiwa kukamilika kufikia mwisho wa mwezi Mei.