Tehran
-
Iran na Pakistan Zaahidi Ushirikiano wa Kiuchumi na Usalama
Mazungumzo ya Iran na Pakistan yanaonesha dhamira ya pamoja ya Iran na Pakistan kuimarisha ushirikiano wa kimkakati, kiuchumi na kiusalama katika kanda.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Afghanistan na Iran wamekutana na kufanya mazungumzo Mjini Tehran
Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya muda ya Afghanistan, ambaye yuko Iran kwa ajili ya kushiriki katika Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran, amekutana na Sayyid. Araghchi na kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa pande mbili, masuala ya kiusalama, hali ya wakimbizi na haki ya maji ya Iran.
-
Katika Maonyesho ya 36 ya Kimataifa ya Vitabu Tehran, tafsiri ya wasifu wa Shahidi Jenerali Qasem Soleimani itazinduliwa rasmi
Katika Maonyesho ya 36 ya Kimataifa ya Vitabu mjini Tehran, vitabu vitatu vilivyotafsiriwa kwa lugha ya Kazakhi vitazinduliwa rasmi, na miongoni mwao ni kitabu kiitwacho "Rafiki Yetu Mwenye Bahati", ambacho ni wasifu wa Shahidi Jenerali Qasem Soleimani.
-
Iran | Kesho ni Siku ya Maombolezo ya Kitaifa Nchini Iran / Idadi ya Waliopoteza Maisha Yafikia 28
Baada ya tukio la kusikitisha katika Bandari ya Shahid Rajaei lililosababisha vifo vya makumi ya raia wapenzi wa Iran, Baraza la Mawaziri limetangaza kuwa kesho kutakuwa na maombolezo ya kitaifa kote nchini.
-
Imam Khamenei afanya ziara muhimu ya kuonesha mafanikio ya sekta binafsi mjini Tehran
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei siku ya Jumanne amefanya ziara katika hafla iliyofanyika ili kuonesha mafanikio ya sekta binafsi.
-
Uwezo wa kuthamini na kuheshimu vipengele viwili vya Imani na Utamaduni / Jinsi jamii ya Wairani nchini Tanzania inavyo balansi Imani na Utamaduni
Nyakati kama hizo hutoa somo muhimu katika kuishi pamoja Kitamaduni na kwa utangamano wa Kidini, na hili sio kwa Wairan tu, bali ni kwa Jamii ya Kimataifa.
-
Wito wa Maandamano kufuatia Mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni
Kufuatia mashambulio hayo ya kinyama ya utawala wa Kizayuni, Baraza la Uratibu wa Tabligh za Kiislamu limetoa taarifa likiwaalika Wananchi Watukufu wa Tehran kushiriki katika maandamano yatakayofanyika kesho katika Medani ya Palestina.