Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei siku ya Jumanne amefanya ziara katika hafla iliyofanyika ili kuonesha mafanikio ya sekta binafsi.
Nyakati kama hizo hutoa somo muhimu katika kuishi pamoja Kitamaduni na kwa utangamano wa Kidini, na hili sio kwa Wairan tu, bali ni kwa Jamii ya Kimataifa.
Kufuatia mashambulio hayo ya kinyama ya utawala wa Kizayuni, Baraza la Uratibu wa Tabligh za Kiislamu limetoa taarifa likiwaalika Wananchi Watukufu wa Tehran kushiriki katika maandamano yatakayofanyika kesho katika Medani ya Palestina.