Kambi
-
Ufichuzi wa uvamizi mkubwa zaidi wa Jeshi la Israel ndani ya ardhi ya Syria tangu kuanguka kwa Serikali ya Bashar al-Assad
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, wanajeshi wa Israel wamedhibiti ukanda wa kilomita 10 kuanzia eneo la Golan hadi Hamat Ghadeer, na kuanzisha kambi mpya 8 za kijeshi katika eneo hilo.
-
Jeshi la Lebanon limepokea silaha nzito kutoka kwenye kambi za Wakpalestina
Jeshi la Lebanon limeanza mchakato wa kupokea silaha kutoka kwenye Kambi za Wapalestina katika Mji wa Sur Kusini mwa nchi hiyo.
-
Uharibifu wa rada ya Kijeshi ya Marekani huko Qatar baada ya Kushambuliwa na Makombora ya Iran
Ulinzi wa anga wa kituo cha Marekani ulifeli Kuzuia Makombora ya Iran, na ajabu ni kwamba Iran ilichagua kuitwanga Kambi hiyo kwa kutumia Makombora ya Zamani.
-
The New York Times: Picha za satelaiti za 2022 zimefichua vituo vitatu vipya vya vifaa vya Kimarekani magharibi mwa Saudi Arabia
Kambi hizi za kijeshi zinaonyesha maandalizi ya mzozo wa muda mrefu na Iran, wakati ambapo Washington inatafuta kuyaweka maeneo katika usalama mbali na Iran ili kuhifadhi vifaa yake vya kijeshi na kupunguza hatari ya kulengwa na kulipuliwa na Iran.