Darasa huanza saa moja kabla ya Swala ya Adhuhuri na Alasiri, na baada ya kumalizika, Swala ya Adhuhuri na Alasiri husaliwa kwa pamoja kwa uwepo wa Masheikh na walimu. Washiriki: Ni Wanafunzi wote wa madrasa, pamoja na walimu na wasimamizi wa bweni.

7 Oktoba 2025 - 18:27

Darasa na Warsha ya Qur’an Tukufu - Madrasat Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni - Dar-es-salaam +Picha

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Darasa na warsha hii ya Qur’ani hufanyika kila siku ya Jumanne, chini ya usimamizi wa Mwalimu na Ustadh mashuhuri, Bwana Muhammad Ja‘far.

Darasa na Warsha ya Qur’an Tukufu - Madrasat Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni - Dar-es-salaam +Picha

Vipindi hivi huendeshwa kwa kutumia mbinu ya Tajwīd (usomaji sahihi wa Qur’an), pamoja na mafunzo ya kusoma Qur’an kwa ufasaha, ladha na ustadi wa juu kabisa. Pia kuna kipindi cha maswali na majibu, ambapo kila mwanafunzi atakayetoa jibu sahihi huzawadiwa zawadi maalumu.

Darasa na Warsha ya Qur’an Tukufu - Madrasat Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni - Dar-es-salaam +Picha

Muda wa Programu:
Darasa huanza saa moja kabla ya Swala ya Adhuhuri na Alasiri, na baada ya kumalizika, Swala ya Adhuhuri na Alasiri husaliwa kwa pamoja kwa uwepo wa Masheikh na walimu. Washiriki: Ni Wanafunzi wote wa madrasa, pamoja na walimu na wasimamizi wa bweni.

Darasa na Warsha ya Qur’an Tukufu - Madrasat Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni - Dar-es-salaam +Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha