Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Haram Tukufu ya Imam Hussein (as) Nchini Iraq, imepambwa rasmi kwa vitambaa vyeusi katika kujiandaa kuadhimisha Siku za Maombolezo na Majonzi za ndani ya Mwezi wa Huzuni wa Muharram.
22 Juni 2025 - 01:41
News ID: 1700330
Your Comment