source : ABNA
Jumanne
11 Februari 2020
16:01:42
1009472
habari za picha
Maombolezo makubwa yafanyika ya kukumbuka siku ya arubaini ya Qasem Soleimani mjini Karachi
Shirika la habari AhlulBAYT (A.S) ABNA: maombolezo ya kumbukumbu za siku Arubaini za kufa kishujaa kwa kamanda Qasim Soleimani na Abumahdi Muhandisi “kiongozi wa kikundi cha jeshi la Hashdu Shaabi ya Iraq”, maombolezo ambayo yalihudhuriwa na wananchi wengi wa mji wa Karachi nchini Pakistan, huku Allamah Raja Nasir Abbas Jafari akiwa ni miongoni mwa waliopata nafasi za kuzungumza katika maombolezo hayo nchini humo.