source : ABNA
Jumanne
11 Februari 2020
17:53:53
1009484
Habari za IranAsiaSehemu maalumu ya mashujaa Makamanda wa Kislamu Haji Qassim Soleimani Na Abumahdi Almuhandisi
habari za picha
Maombolezo ya kumkumbuka Shujaa Kamanda Qasem Soleimani yaliotishwa na Ayatullah Makarim Shirazi
Shirika la habari AhlulBayt (a.s) ABNA: maadhimisho ya arubaini ya kamanda shujaa Qasim Soleimani na Abumahdi Almuhandisi yamefanyika katika mji wa Qum, maadhimisho ambayo yaliandaliwa na Ayatullah Makarim Shirazi ambapo yalihudhiuriwa na wanazuoni wengi ikiwemo Ayatullah Muhsin Araki, Dr Ali Akbar Wilayati na maulama wengine mbalimbaliu