source : ABNA24
Jumanne
3 Oktoba 2023
18:41:16
1397637
Habari katika picha za ziara ya Rais wa Baraza la Dunia la Ahlul-Bayt (AS) katika Kituo cha Kiislamu cha Jafariyyah jijini Nairobi.
Shirika la habari la Ahlul-Bait (A.S) -ABNA- liliripoti kwamba Ayatullah Reza Ramezani, mkuu wa baraza la ulimwengu la Ahlul-Bait (A.S) alitembelea Kituo cha Kiislamu cha Jafariyyah mjini Nairobi, mji mkuu wa Kenya, wakati wa ziara aliyoifanya Kenya.