Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bait (ABNA) limeripoti kuwa katika ziara ya Ayatollah Ramezani barani Afrika, Katibu Mkuu wa Baraza la Dunia la Ahlul-Bait (AS) alitembelea hospitali ya afya ya Iran huko Nairobi, mji mkuu wa Kenya.
Dk. Faqihi, mwakilishi wa Iran katika hospitali hii, pia alielezea kuhusu huduma na shughuli za uuguzi katika hospitali hii.
Huku akisifu kazi ya kibinadamu ya hospitali hii, Ayatullah Ramezani alisema: Kenya inaweza kuwa kituo cha huduma za afya barani Afrika.