Main Title

source : Abna
Jumanne

17 Oktoba 2023

19:10:58
1402242

Ripoti katika Picha za Mkutano wa Wahubiri wa Kidini nchini Madagaska kwa ushiriki wa Rais wa Baraza la Kimataifa la Ahl al-Bayt (AS)

Shirika la habari la Ahlul-Bait (a.s) - ABNA - liliripoti kwamba mkutano wa wahubiri wa Kiislamu ulifanyika Madagaska kwa kushirikisha Ayatollah Reza Ramezani, katibu mkuu wa baraza la kimataifa la Ahlul-Bait (a.s) katika seminari ya Imam Sadik (a.s.) nchini Madagascar. Katika mkutano huo, wahubiri walitoa maoni yao kuhusu suala la kuhubiri na kutoa ujumbe wa kidini nchini Madagaska.