Televisheni ya Al-Jazeera ya Qatar imeripoti kuwa, vikosi vya uokoaji vya Gaza vimegundua idadi kubwa ya miili ya Wapalestina iliyozikwa kwenye vifusi vya udongo karibu na Hospitali ya al-Shifa.
Kwa mujibu wa Ismail al-Thwabateh, Mkurugenzi wa Idara ya Habari ya Serikali ya Ukanda wa Gaza, utawala wa Israel umewaua shahidi Wapalestina 400 katika Hospitali ya al-Shafa.