Main Title

source : Abna
Jumatano

8 Januari 2025

15:46:40
1521277

Ripoti ya Picha | Vijana wa Kishia wa Urusi na Georgia wamekutana na Mkuu wa Jumuiya ya Mahdawiyyah ya Hawzat za Kiilmu

Kwa mujibu wa Shirika la ABNA, Kundi la vijana wa Kishia kutoka Urusi na Georgia, waliohudhuria katika Jumuiya ya Mahdawiyyah ya Seminari (Hawzat) za Kiilmu katika Mji wa Qom, ambapo walikutana na Hojjat al-Islam wal_Muslimina, "Mohammed Taqi Rabbani", Mkuu wa Jumuiya hii. Katika mkutano huu, walielezea maswali yao na wasiwasi wao katika uwanja wa Umahdi (Mahdawiyyah), na wakapokea majibu mazuri yanayofaa kutoka kwa Hojjat al-Islam wal_Muslimina Mohammed Taqi Rabbani.