source : abna.ir
Jumamosi
14 Machi 2015
15:45:47
676782
Askari wa Israel wamevamia kitongoji cha Hadhwarat Swaleh na kuwapiga wapalestina waliokuwa wakiandamana kupinga kitendo cha Israel kuvunja nyumba za wapalestina na kujenga nyumba mpya kwa ajili ya Mayahudi.