source : abna.ir
Ijumaa
20 Machi 2015
11:39:05
677981
Huu ni mchezo hatari unaofanywa na watoto wa kipalestina wa naoishi ukanda wa Gaza, watoto hawa wanaishi katika kambi za wakimbizi baada ya nyumba zao kubombolewa na serikali ya Israel, wana Simba hawa wanamilikiwa na Jamal ambaye amewanunua wana Simba hawa kutoka mbuga ya wanyama.