source : abna.ir
Jumatano
25 Machi 2015
11:05:39
678868
Wafanyakazi wa shughuli za uokozi wa Ufaransa wanaendelea kuitafuta miili ya watu 150 wakiwemo watoto wa shule 16 walipoteza maisha katika ajali ya ndege ya Shirika la Ujerumani iliyotokea katika eneo la milima ya Alps.