source : abna.ir
Jumanne
31 Machi 2015
20:02:11
680325
Picha za jeshi la Iraq na Hizbullah ya Iraq wakipambana na magaidi Daesh katika mji wa Tikrit
ajeshi ya Iraq yakishirikiana na jeshi la wapambanaji wa kishia wa Hizbullah ya Iraq wamepambana vikali na kufanikisha kukomboa zaidi ya asilimia tisini ya mji wa Tikrit.