source : abna.ir
Jumapili
19 Aprili 2015
19:34:14
684981
Picha za kundi la kigaidi la Daesh likichinja wakristo wa Ethiopia (Usitazame kama uko chini ya miaka 18)
Kundi la kigaidi la Daesh la linalodai kuwa ni kundi la waislamu wa dhehebu la Sunni, Wahabia maarufu kama Salafia au waislamu wa itikali kali linaendelea kufanya mauji na kuyanasibisha na dini tukufu ya kiislamu.