Sayyid Muqtada Sadri ametoa onyo kali kwa serikali ya Marekani kufuatia, mswada wa Marekani wenye lengo la kigawa Iraq kwa misingi ya makabila na madhehebu.
Muqtada Sadr ameionya Marekani kuingilia mambo ya ndani ya Iraq, na kuiambia kuwa iwapo itathubutu kupitisha mswada huo, basi Jeshi la lake litashambulia majeshi ya Marekani popote yakapo kuwa na atahakikisha kuwa anaharibu miradi na maslahi ya Marekani.