source : abna.ir
Ijumaa
11 Desemba 2015
18:46:11
724269
Rais wa Iran aadhimisha kifo cha Mtume Muhammad kwa kutembelea wagonjwa + Picha
Rais wa Iran Dk Hassan Rohan ameadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad s.a.w ambapo imesadifiana na kifo cha Hassan bin Ali mjukuu wa Mtume Huyo ambaye ni mwana wa Bi Fatma bint Muhammad. waislamu wa dhehebu la Shia wameitumia siku hii kuomboleza kifo cha mtume Muhamad s.a.w