source : abna.ir
Jumatano
16 Desemba 2015
13:44:53
725252
Jeshi la Nigeria la vunja vunja nyumba ya kiongozi wa mashia
Jeshi la Nigeria baada ya kuuwa mamia ya waumini wa kiislamu wa dhehebu la shia limechukua jukumu la kuvunja kabisa nyumba ya Sheikh Zakzaki kiongozi mkuu wa Mashia wa Nigeria