source : abna.ir
Jumatano
16 Desemba 2015
14:22:34
725261
Waislamu wa Nigeria wafanya maandamano kupinga kukamatwa kiongozi wa Mashia
Jeshi la Nigeria limevamia makazi ya kiongozi wa Mashia na kuua mamia ya watu katika mji wa Kaduna, na kisha kumkamata kiongozi wa Mashia Sheikh Zakzaki. jeshi hilo mpaka sasa limeshindwa kutoa maelezo ya kutosha ya sababu ya kufanya mauaji hayo kwa watu wasio na silaha.