source : abna.ir
Jumamosi
19 Desemba 2015
16:10:55
725827
Wananchi wa Kashmir waandamana kupinga mauaji ya Nigeria dhidi ya waislamu wa dhehebu la Shia
Picha za wananchi wa Kashimir wa Pakistan wakipinga mauji yaliyofanywa na jeshi la Nigeria dhidi ya waislamu wa dhehebu la Shia. ambapo jeshi hilo lilivamia nyumba ya kiongozi mkuu wa mashia wa Nigeria sheikh Zakizaki na kuwamwagia risasi kwa kila waliyemuona mbele yao.