source : abna.ir
Alhamisi
31 Desemba 2015
13:07:00
727830
Serikali yaanza kuvunja nyumba zilizojengwa kinyume na sharia Dar es salaam + Picha
Shirika la habari la ABNA linaripoti kuwa: serikali ya Tanzania imeanza zeozi la kuvunja nyumba na mabada yaliyokinyume na sheria , zoezi hili linajulikana kama BOMOA BOMOA , zoezi hili limeanza katika Jiji la Dar es Salaam kwa watu wote waliojenga katika maeneo ya wazi.