source : abna.ir
Jumatatu
4 Januari 2016
19:50:58
728812
Wananchi wa Canada wafanya Maandamano ya kupinga mauaji ya Saudia arabia
Wananchi wa Canada wamefanya maandamano kupinga mauaji ya kidhalimu yaliyofanywa na utawala wa Saudia arabia dhidi ya Sheikh Nimr mwanaharakati mtetezi wa haki za mashia wa Saudia arabia.