source : abna.ir
Jumanne
5 Januari 2016
06:39:58
728849
Katuni hii inaashiria madhara yanayoikabili serikali ya Uturuki baada ya kufanya muamala na magaidi wa Daesh kwa kununua mafuta ambayo magaidi hao wanayaiba kutoka nchini Syria ambapo kwa sasa biashara hiyo imekabiliwa na hujuma nzito kutoka majeshi ya Urusi.