source : abna.ir
Ijumaa
15 Januari 2016
17:20:45
730631
Majeshi ya Syria yakisaidiwa na wapiganaji wa Hizbullah chini ya Uongozi wa wataalamu wa vita kutoka Iran, yamefanikiwa kukomboa mji muhumu wa Salma, hii ni pigo kubwa kwa Marekani na Saudia arabia ambazo ndio wadhamini wakuu wa magaidi hao.