source : abna.ir
Jumatano
9 Machi 2016
21:47:44
740039
Kiongozi mkuu wa mapinduzi ya kiislamu ya Iran Ayatollah Khamenei ambaye pia ni kiongozi mkuu wa waislamu wa dhehebu la Shia Duniani, ameadhimisha siku ya mazingira kwa kupanda mti na kuhamamsisha raia wairan wajitahidi kupanda miti.