source : abna.ir
Jumatatu
18 Aprili 2016
15:13:53
748295
Hizi ni picha zikionyesha waumini wa kiislamu wa dhehebu la Shia nchini Nigeria wakiandamana kutaka kuachiwa Sheikh Zakzaki ambaye alikamatwa baada ya jeshi la Nigeria kuvamia nyumbani kwake na kuua mamia ya watu wasio na hatia.