source : abna.ir
Ijumaa
1 Julai 2016
11:47:04
763396
hizi ni Picha za rais wa Syria akitembelea wanajeshi walioko uwanja wa vita wakipambana na magaidi wa Daesh ambao wanadhaminiwa na baadhi ya nchi za kiarabu na magharibi kwa lengo la kuangusha serikali halali ya Syria