source : abna.ir
Alhamisi
13 Oktoba 2016
22:02:30
785345
Picha waislamu wa Canada wakiomboleza kifo cha mjukuu wa mtume Muhammad
Hizi ni picha za waislamu wa dhehebu la shia wakiomboleza tukio la kifo cha Husein ambaye ni mjukuu wa mtume Muhammad s.a.w aliyeuawa na maswahaba waovu wa mtume huyo mnamo mwaka wa 61 hijria sawa na mwaka 680.