source : abna.ir
Jumamosi
17 Desemba 2016
14:48:16
798832
Picha wananchi wa Syria wakisherehekea kuzaliwa kwa mtume Muhammad
wananchi wa Syria pamoja na kuwa katika misukosuko ya vita vinavyoendelezwa na magaidi waodhaminiwa na Marekani na washirika wake, wananchi wa Syria hawakuacha kusherehekea Maulidi ya Mtume Muhammad s.a.w.