source : abna.ir
Ijumaa
10 Februari 2017
20:59:03
810837
Picha za wairan wakiadhimisha mapinduzi ya kiislamu na kujibu vitisho vya Trump
Wananchi wa Iran leo wameadhimisha miaka 38 tangu nchi hiyo ilipotoa utawala wa kifalme na kuleta utawala wa kiislamu ambao unaongozwa kwa misingi ya dhehebu la Shia ithnaasharia, wananchi wa Iran na viongozi wa Iran wamesisitiza kuwa Iran haitabadili misimamo yake na kwamba Trump si lolote si chochote mbele ya Iran ya kiislamu.