Main Title

source : Abna
Jumatano

23 Oktoba 2024

18:20:36
1497647

Video | Marasimu za ukumbusho wa Shahidi Syed Hassan Nasrullah nchini Thailand

Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul_Bayt (a.s) - ABNA - Marasimu za ukumbusho wa Shahidi Syed Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon, zimefanyika Bangkok, Mji Mkuu wa nchi ya Thailand, kwa kuhudhuriwa na kundi kubwa la wapenzi na wafuasi wa shule (Madrasa) ya Ahlul_Bayt (a.s) nchini Thailand.