source : abna.ir
Jumanne
8 Desemba 2015
21:15:05
723786
Picha za Maombolezo ya Arobaini ya Imam Husein nchini India
Hizi ni Picha za waislamu wa dhehebu la Shia wa India wakiadhimisha arobain ya mjukuu wa mtume Muhammad s.a.w Imam Husein ambaye aliuawa kikatili na majeshi ya Yazid bin Muawiyah mnamo mwaka 61 Hijiria sawa na mwaka 680, tukio hili lilitokea katika mji wa Karbalaa Iraq.