source : abna.ir
Jumatano
16 Desemba 2015
14:26:15
725262
Video ya Mauaji yaliyofanywa na jeshi la Nigeria dhidi ya waislamu
Jeshi la Nigeria limevamia makazi ya kiongozi wa waislamu wa dhehebu la shia na kuua mamia ya watu katika mji wa Kaduna Jeshi la Nigeria badala ya kuwalinda waumini hawa, limechukua jukumu la kuwasaidia Bokoharam kuwaua waumini hawa madhulumu.