source : abna.ir
Jumatano
9 Machi 2016
22:01:59
740040
Serikali ya Uturuki ikishirikiana na Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya zimekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha wanauangusha utawala halali wa Syria. kwa kutuma askari wanaojitolea kwa kulipwa pesa nyingi na kwenda kujiunga na makundi ya kigaidi wakipita mipaka ya Uturuki kuingia Syria.