Main Title

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:15:53
1458819

Katibu Mkuu wa UN alaani mauaji ya wafanyakazi wa afya huko Rafah

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amelaani mauaji na kujeruhiwa kwa maafisa wa afya wa Umoja wa Mataifa huko Rafah kusini mwa ukanda wa Gaza.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:15:19
1458818

IDMC: Kuna ongezeko kubwa la ukimbizi wa ndani unaosababishwa na migogoro duniani

Ripoti mpya ya Kituo cha Ufuatiliaji wa Ukimbizi wa Ndani (IDMC) inaonyesha kuwa migogoro na ghasia duniani zimesababisha ongezeko lisilo na kifani la idadi ya wakimbizi wa ndani kufikia mwisho wa 2023.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:14:22
1458817

Uchunguzi wa Independent: Biden anahusika katika mateso ya njaa ya watu wa Gaza

Uchunguzi uliofanywa na gazeti la Uingereza la The Independent unasema kuwa, Rais wa Marekani, Joe Biden, anahusika katika baa la njaa linalowatesa raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:13:59
1458816

Iran: Haki za binadamu za Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja

Ali Kanani Chafi, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema haki za binadamu za Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja kwani zote zinakiuka pakubwa haki za binadamu dhidi ya mateka na wafungwa, moja huko Negev na nyingine huko Guantanamo na Abu Ghraib.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:13:16
1458815

"Mauaji ya watoto 15,000 wa Gaza yanaashiria mwisho wa Israel"

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna shaka kuwa mauaji ya watoto zaidi ya 15,000 wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza itakuwa chachu ya kuharakisha mchakato wa kuporomoka na kusambaratika utawala wa Kizayuni wa Israel.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:12:28
1458814

Sera za Iran kuhusu nishati ya nyuklia hazijabadilika

Nasser Kanani, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alitangaza Jumatatu 13 Mei kwamba, sera za nyuklia za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hazijabadilika.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:11:53
1458813

Balozi wa Russia UN: Mashambulizi ya Magharibi dhidi ya Yemen ni kinyume cha sheria

Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa mashambulizi ya muungano wa nchi za Magharibi unaoongozwa na Marekani dhidi ya Yemen yamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na hayana uhalali wowote.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:11:28
1458812

Marekani na Uingereza zashambulia tena uwanja wa ndege wa al Hudaidah huko Yemen

Ndege za kivita za Marekani na Uingereza kwa mara nyingine tena zimeushambulia uwanja wa ndege wa kimataifa wa al Hudaidah huko Yemen.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:11:01
1458811

Wapalestina elfu 10 wangali chini ya vifusi

Taasisi ya Ulinzi wa Raia ya Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa Wapalestina elfu 10 bado wapo chini ya vifusi vya nyumba zilizobomolewa katika mashambulizi ya jeshi la Israel.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:10:36
1458810

Msemaji wa UNRWA atahadharisha kuhusu hali ya mji wa Rafah

Msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina katika Mashariki ya Karibu (UNRWA) ameitaja hali ya mji wa Rafah huko kusini mwa Ukanda wa Gaza kuwa sawa na mji uliotelekezwa uliosalia magofu.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:10:09
1458809

ICJ itasikiliza kesi kuhusu uvamizi wa Israel dhidi ya Rafah

Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) itafanya vikao kujadili hatua mpya za dharura kuhusu uvamizi wa Israel katika mji wa kusini wa Rafah katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.

source :
Jumatano

15 Mei 2024

17:09:42
1458808

Maelfu ya Wapalestina waandamana katika kumbukumbu ya siku ya Nakba

Maelfu ya wananchi wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu wameandamana kwa mnasaba wa Siku ya Nakba ambayo inakumbusha uvamizi, mauaji ya kimbari, ukatili na jinai za Wazayuni katika ardhi za Wapalestina.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:41:52
1458603

Balozi wa Yemen nchini Iran: Mkutano wa Tehran utaleta maelewano kati ya Iran na Waarabu

Balozi wa Yemen nchini Iran amesema kuwa Mkutano wa Mazungumzo ya Iran na Waarabu uliofanyika mjini Tehran chini ya anwani "Kwa ajili ya Ushirikiano na Maelewano" utaliimarisha taifa la Palestina na kuboresha maelewano kati ya Iran, Waarabu na nchi mbalimbali.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:41:28
1458602

Familia za wanajeshi waliouawa zamshambulia Waziri wa Usalama wa Israel

Familia za wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel waliouawa vitani Ukanda wa Gaza zimemshambulia Itamar Ben- Gvir Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:40:59
1458601

Nasrullah: Wanajeshi 1,500 wa Israel wameuawa tangu kuanza vita vya Gaza

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema wanajeshi 1,500 wa Israel wameuawa tangu kuanza vita vya utawala huo haramu dhidi ya Gaza, jambo ambalo limeyalazimu makundi ya muqawama katika eneo la Magharibi mwa Asia, ikiwemo Hizbullah, kuanzisha mashambulizi dhidi ya Israel ili kuilazimisha kukomesha vita hivyo.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:40:36
1458600

Sababu za kushindwa mazungumzo ya kusitishwa vita vya Gaza

Khalil al-Hayya, Naibu Mkuu wa Hamas katika Ukanda wa Gaza, amefafanua jinsi utawala wa Kizayuni wa Israel ulivyovuruga mazungumzo ya kusitisha mapigano Gaza na kubadilishana mateka.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:40:05
1458599

Yemen yaonya inaweza kulenga shabaha za adui 'ambazo hawezi hata kuzifikiria'

Jeshi la Yemen limeonya kuwa huenda likazidisha mashambulizi yake ya kuiunga mkono Palestina iwapo utawala wa Israel utaendelea na vita vyake vya mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:39:40
1458598

Amir wa Qatar na Waziri Mkuu wa Malaysia wajadili uhusiano wa pande mbili na hali ya Gaza

Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani amekutana na kufanya mazungumzo na Anwar Ibrahim Waziri Mkuu wa Malaysia katika mji mkuu wa nchi hiyo Doha. Waziri Mkuu wa Malaysia yuko nchini Qatar kwa ziara ya siku tatu.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:39:07
1458597

Makumi ya Wapalestina wauawa katika hujuma za Israel Gaza

Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimefanya mashambulizi mapya ya anga dhidi ya maeneo tofauti ya Ukanda wa Gaza na kuua shahidi makumi ya Wapalestina, wakiwemo watoto wadogo na wanawake.

source :
Jumanne

14 Mei 2024

20:38:36
1458596

Iran: Haki za binadamu za Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran anasema haki za binadamu za Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja kwani zote zinafanya uhalifu mkubwa dhidi ya wafungwa.