Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) - Abna -, Katika usiku wa kuzaliwa kwa Imam Hassan al-Mujtaba (amani iwe juu yake), kundi la watu wa Mashairi (Wataalamu wa Fani ya Mashairi) na Utamaduni na Maprofesa wa Fasihi ya Kiajemi wamekuwa wageni wa Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
16 Machi 2025 - 19:45
News ID: 1543017
Your Comment