Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (AS) - Abna - Vipindi maalum vya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vinafanyika katika vituo 11 vya Kidini nchini Tanzania kwa kushirikisha Mashia wa nchi hii chini ya Uongozi na Mpango wa Taasisi ya Hojjatul- Asr (a.t.f.s) ya Tanzania.
19 Machi 2025 - 15:43
News ID: 1543596
Your Comment