ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
  1. Home
  2. service
  3. Habari Muhimu

Ripoti ya Video | Kuswaliwa kwa Swala ya Ijumaa katika Magofu ya moja ya Misikiti iliyolipuliwa huko Gaza

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Watu wa Gaza katika Mkoa wa Khan Yunis walisimamisha Swala ya Ijumaa katika sehemu salama ya Msikiti huo ambao ni moja ya Misikiti iliyoharibiwa kwa kulipuliwa na Wazayuni.

23 Septemba 2024 - 05:19
News ID: 1487372
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s); Abna Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom