Main Title

source : Abna
Jumanne

12 Novemba 2024

18:30:46
1503836

Video | Mwandishi wa Habari wa Palestina aliyeuawa Kishahidi akiagwa

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahl al-Bayt (a.s) - ABNA - Mtandao wa Habari wa Quds ulichapisha picha za marafiki na wafanyakazi wakimuaga mwenzao Shahidi Muhammad Kharis katika Kambi ya Al-Nuseirat katikati mwa Ukanda wa Gaza.