-
Waandamanaji Paris watoa wito wa kususia utawala katili wa Israel
Maandamano ya kuunga mkono Palestina yamefanyika karibu na Wizara ya Utamaduni ya Ufaransa jijini Paris, yakitoa wito wa kususia utawala wa Israeli kutokana na vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
-
Trump apanga kuwahamishia Libya Wapalestina milioni 1 wa Gaza
Imefichuka kuwa, maafisa wakuu wa serikali ya Rais wa Marekani, Donald Trump wanashughulikia mpango wa kuhamisha takriban nusu ya wakazi milioni 2.2 wa Ukanda wa Gaza uliozingirwa na kuwapeleka hadi Libya.
-
UNICEF: Israel imeua watoto 45 wauawa Gaza kwa muda wa siku mbili
Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umetangaza kuwa, wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi watoto 45 katika Ukanda wa Gaza ndani ya siku mbili.
-
Umoja wa Mataifa: Uhaba wa chakula Gaza umefikia kiwango cha janga la njaa
Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonyesha kuwa, uhaba mkubwa wa chakula katika Ukanda wa Gaza umefikia kiwango cha janga la njaa.
-
Hofu ya kukamatwa yamfanya Netanyahu afute safari yake ya Vatican
Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amefuta safari yake ya Vatican akihofia kutekelezwa waranti wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC unaotaka atiwe mbaroni kwa kutenda jinai za kivita Palestina.
-
Hamas: Witkoff aliahidi kuondoa mzingiro wa Gaza mkabala wa kuachiwa Edan Alexander
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, mjumbe maalumu wa Marekani Steve Witkoff alilihakikishia kundi hilo la Muqawama la Palestina kwamba, Washington itaishinikiza Israel kukomesha mzingiro wa Gaza na kuruhusu ufikishaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya siku mbili baada ya kumwachilia huru mwanajeshi wa Israel, Edan Alexander, raia wa Marekani.
-
Azma ya Iran na nchi tatu za Ulaya kuhusu kutumia diplomasia ya nyuklia
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amesema kuwa Iran na mataifa matatu ya Ulaya ambayo Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani (yanayojulikana kama E3), wameazimia kutumia ipasavyo njia za kidiplomasia kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.
-
Spika wa Bunge Iran: Ni wajibu wa Kiislamu kusitisha ‘Mauaji Makubwa Zaidi ya Kimbari Katika Historia’
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa wito kwa Waislamu kuimarisha umoja na kuwa sauti ya watu wa Palestina walioko Ukanda wa Gaza, ambao wanakumbwa na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Israel.
-
Araqchi: Haki ya Iran ya kurutubisha urani kwa malengo ya amani si ya kufumbiwa macho
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba, hakuna sinario na kitu ambacho kitaifanya Iran iachane na haki yake ya kurutubisha madini ya urani kwa malengo ya amani.
-
Pezeshkian: Iran inafanya mazungumzo, lakini haigopi vitisho vyovyote
Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza kuwa, Iran haitasalimu amri na kuachana na haki zake licha ya vitisho, akieleza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaachana na mafanikio yake ya heshima katika nyanja yoyote ile, iwe kisayansi au kijeshi.
-
Kiongozi Muadhamu: Matamshi ya Trump ni fedheha kwa taifa la Marekani
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amekosoa matamshi ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani na kuyataja kuwa ni "fedheha" kwa taifa la Marekani.
-
Faida za makubaliano ya Iran na Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia
Ali Ahmadnia, Mkuu wa Masuala ya Habari wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa takriban asilimia 87 ya bidhaa zinazouzwa kati ya Iran na nchi tano wanachama wa Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia (EAEU) zitauzwa kati ya nchi hizo bila kutozwa ushuru.
-
Chuo cha Al-Mustafa (s) - Tanzania | Jumamosi ya Bidii na Maarifa!
Tunawatakia Wanafunzi hawa kila la heri katika juhudi zao za kielimu!.