Ulinzi wa anga wa kituo cha Marekani ulifeli Kuzuia Makombora ya Iran, na ajabu ni kwamba Iran ilichagua kuitwanga Kambi hiyo kwa kutumia Makombora ya Zamani.
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Leo hii Masira makubwa katika kuhuisha Shahada ya Imam Hussein (as) katika Ardhi ya Karbala yamefanyika Temeke Jijini Dar-es-salaam - Tanzania yakiwahusisha Wafuasi wa Ahlul-Bayt (as) kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar-es-salaam