-
Qalibaf kwa Marekani: Kubalini Ukweli na Timizeni Ahadi Zenu
Spika wa Bunge la Iran amesema kauli za Rais wa Marekani ni sehemu ya diplomasia ya maonyesho isiyo na tija, akisisitiza kuwa vitisho, ahadi zisizotekelezwa na taarifa za upotoshaji haziwezi kuleta mafanikio katika mazungumzo.
-
-
Rais Pezeshkian: Uhusiano wa Iran na Nchi Jirani Umeimarika kwa Kiwango Kikubwa
Rais wa Iran amesema uhusiano wa Tehran na nchi jirani umeboreshwa kwa kiwango kikubwa kuliko ilivyokuwa hapo awali, huku akisisitiza kuwa ushirikiano huo umewezesha kufunguliwa kwa njia mpya za biashara ili kukabiliana na vikwazo vya kiuchumi.
-
Iran na Azerbaijan Zakubaliana Kupanua Ushirikiano katika Michezo na Masuala ya Vijana
Mawaziri wa Michezo na Vijana wa Iran na Azerbaijan wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika diplomasia ya michezo, kubadilishana wanamichezo na makocha, pamoja na kuandaa kambi na mashindano ya pamoja.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran:
Mapinduzi ya Kiislamu ni Tunda la Shule ya Ashura, Sayyida Zainab (as) ni Mbeba Bendera ya Jihadi na Ufafanuzi wa Ukweli
Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema Mapinduzi ya Kiislamu yamejengwa juu ya misingi ya Ashura, akisisitiza kuwa Sayyida Zainab (as) alichukua nafasi ya kipekee katika kuendeleza ujumbe wa Karbala na kuhifadhi malengo ya mapinduzi ya Imam Hussein (as).
-
Waziri wa Viwanda: Iran ni Mshirika wa Kimkakati wa Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia
Waziri wa Viwanda, Madini na Biashara wa Iran amesema Tehran imejipanga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na nchi wanachama wa Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia kupitia utekelezaji wa makubaliano ya biashara huria, maendeleo ya njia za usafirishaji na kuimarisha ushirikiano wa kifedha na kibenki.
-
Iran na Iraq Zakubaliana Kuimarisha Ushirikiano wa Kisayansi na Vyuo Vikuu
Ziara ya Waziri wa Sayansi, Utafiti na Teknolojia wa Iran nchini Iraq imefungua njia mpya ya kuimarisha ushirikiano katika sekta za sayansi, teknolojia na elimu ya juu kupitia mazungumzo na viongozi wakuu wa Iraq.
-
Iran Yaazimia Kuimarisha Biashara na Nchi za Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia
Kwa mujibu wa Waziri wa Viwanda, Madini na Biashara wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Mohammad Atabak, maazimio ya kimkakati yaliyopitishwa katika kikao cha pili cha Baraza la Pamoja la Serikali za Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia yanatarajiwa kufungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi na kuongeza kiwango cha biashara kati ya Iran na nchi wanachama wa umoja huo.
-
Nablus Yapokea Kongamano na Kikao cha Kumuenzi Kiongozi wa Iran
Kongamano na kikao cha kumbukumbu kilifanyika katika mji wa Nablus, Ukingo wa Magharibi, kwa ushiriki wa wanaharakati wa utamaduni na vyombo vya habari, ambapo washiriki walijadili mchango wa Kiongozi wa Iran katika siasa za kikanda na msimamo kuhusu Palestina.
-
Kazem Gharibabadi: Diplomasia Haiishii Wakati wa Vita, Bali Hubadilisha Lugha Kulingana na Hali ya Uwanja wa Mapambano
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia Masuala ya Sheria na Kimataifa amesema diplomasia huendelea hata wakati wa vita, lakini msimamo na lugha yake lazima viendane na mazingira ya mapambano bila kuonyesha dalili yoyote ya udhaifu mbele ya adui.