ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
  1. Home
  2. service
  3. Habari Muhimu

Ripoti katika picha / Marasimu za Maombolezo ya Muharram katika Kituo cha Kiislamu cha Brazil

Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Hafla za Maombolezo ya kuuawa Kishahidi Imam Hussein (a.s) zilifanyika kila Usiku katika Mwezi wa Muharram kwa kuhudhuriwa na wafuasi wengi wa Madrasa ya Ahlul-Bayt (a.s) katika Kituo cha Kiislamu cha Brazil, katika Jiji la Sao Paulo la nchi hii.

28 Julai 2024 - 14:32
News ID: 1474898
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s); Abna Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom