Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul_Bayt (a.s) - ABNA - Kundi la wafuasi wa Kipalestina walikusanyika katika Jiji la New York, Marekani, kupinga mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kutaka kusitishwa mara moja mashambulizi hayo.
5 Agosti 2024 - 11:39
News ID: 1476726