Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul_Bayt (a.s) Kundi kubwa la watetezi wa Gaza na Lebanon lilifanya maandamano mjini Newcastle, Uingereza, kulaani jinai za utawala haram wa Kizayuni na kutaka kusitishwa mara moja kwa vita yake dhidi ya Gaza na Lebanon.
24 Oktoba 2024 - 12:18
News ID: 1497838